Ø KUTUMIA LYCOPENE
Lycopene ni
kirutubisho ambacho kinapatikana kwenye nyanya, tikiti maji kinasaidia sana
kuzalisha seli mpya ambazo zinenda kuzuia kansa kwenye tezi dume na lycopene
inatoa ulinzi mzdhubuti kwenye mfumo wa uzazi.
Ø SAMAKI NA MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na
mafuta ya samaki yanasaidia sana katika kupunguza hatari ya kansa ya tezi dume
kwa maana samaki na mafuta ya samaki yanakuwa na omega 3 fatty acid ambayo ni
afya katika mfumo wa uzazi.
Ø VITAMINI C & D
Matunda
jamii ya machungwa yana vitamin C ambayo ni virutubisho muhimu sana kwenye afya
ya uzazi.
Vitamin C inafanya kazi ya kulinda afya ya uzazi na
kuzuia tezi dume kupata kansa
Ø MADINI YA ZINC
Madini ya zinc ndiyo hasa yanaratibu na kufanya mfumo wa uzazi wa mwanaume uwe katika hali nzuri, ni madini ambayo huwa yanatoa ulinzi na kuratibu shughuli zote za hormone ya kiume na yakipungua tu ndio mwanzo wa hormone kuanza kuwa chini
Hi
ReplyDelete